02
Jun

SERA ZA WAHISANI HAZINA ATHARI ZA MOJA KWA MOJA ZA KIBAJETI

Serikali imesema kuwa hakuna athari za moja kwa moja za kibajeti kutokana na amri za kimamlaka alizotoa Rais wa Marekani,...

Read More
01
Jun

DKT. NCHEMBA AIPA KONGOLE AfDB KWA KUCHANGIA MAENDELEO YA TANZANIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua kwa...

Read More
01
Jun

DKT. NCHEMBA ATETA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA MAENDELEO AFRIKA KUSINI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), ameishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini (DBSA), kwa kushiriki katika ujenzi...

Read More
01
Jun

DKT NCHEMBA ASHIRIKI UCHAGUZI WA RAIS WA BENKI YA MAENDELEO AFRIKA-IVORY COAST

Waziri wa Fedha wa Tanzania, ambaye pia ni Gavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb),...

Read More
29
May

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA DKT ADESINA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amefanya mazungumzo na Rais wa Benki...

Read More
28
May

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA MAGAVANA WA AfDB-AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa kawaida wa Magavana wa...

Read More
27
May

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA RAIS WA AFDB ANAYEMALIZA MUDA WAKE DKT. AKWINUMI ADESINA-ABIDJAN

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), kushoto, akifurahia jambo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)...

Read More
20
May

DKT NCHEMBA AMEONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA 17 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa 17 wa Baraza la Kisekta...

Read More
20
May

DKT NCHEMBA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), leo ameongoza kwa vitendo katika kutekeleza haki yake ya msingi...

Read More
17
May

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA SH. BILIONI 185 KUTOKA CHINA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China zimetia Saini mikataba miwili ya...

Read More