DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAJI SINYA.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la...
Read MoreDKT. MWIGULU: SOMENI KWA BIDII KUMUENZI RAIS SAMIA, WAZAZI WENU
_Asema Dkt. Samia amewapa elimu kuwa urithi watoto wa Kitanzania_ WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wanafunzi wanaosoma shule ya...
Read MoreDKT. MWIGULU AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA SPENCON-MABOGINI-KAHE-CHEKERENI.
Aagiza ijengwe na TANROADS ili iwe bypass ya kupunguza msongamano mjini._ Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 20, 2026...
Read MoreMSIPORE ARDHI ZA WANANCHI KWA KIGEZO CHA UWEKEZAJI-DKT. MWIGULU.
Asema msimamo wa Rais Dkt. Samia ni maendeleo na uwekezaji_ WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali wasipore...
Read MoreDKT. MWIGULU AIPA WIZARA YA MAJI WIKI MBILI.
Ni kwa ajili ya kukamilisha Mchakato wa kumpata mkandarasi mradi wa maji kutoka ziwa Chala._ _Aitaka Wizara ya Fedha kufatuta...
Read MoreDKT SAMIA NI RAIS WA MATOKEO”. ASEMA WAZIRI MKUU
Akagua ujenzi wa Chuo cha VETA Same_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni...
Read MoreDKT. MWIGULU AMEZINDUA SHULE YA AMALI MAJULAI-MLALO
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 17, 2026 amekagua na kuzindua shule mpya ya sekondari ya amali ya Majulai...
Read MoreWAZIRI MKUU: MAWAZIRI WATABAKI TANGA NIKIONDOKA
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewaagiza baadhi ya mawaziri alioambatana nao wabakie mkoani Tanga ili kufuatilia masuala yaliyoibuliwa na wananchi...
Read MoreDKT. MWIGULU AHANI MSIBA WA IDRISSA ZUBEIR.*
Pia awasilisha Salamu za Pole za Rais Dkt. Samia kwa waliofariki kwenye Machimbo, Korogwe._ Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amehani...
Read MoreDKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA WILAYA YA KILINDI.
Ataka uchunguzi wa matumizi ya fedha na ununuzi wa vifaa hospitalini hapo. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 14,...
Read More








