04
Jun

WAZIRI MKUU: TANZANIA IKO SALAMA DHIDI YA EBOLA

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaendelea kuwa salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku Serikali ikiendelea kuimarisha mifumo...

Read More
02
Jun

WAZIRI MKUU AFANIKISHA MARIDHIANO YA MGOGORO WA MIAKA 14 KATI YA MARTHA HILONGA NA KANISA KATOLIKI ARUSHA

Utaratibu wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa njia ya mazungumzo na maridhiano...

Read More
01
Jun

DKT. MWIGULU ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA DIWANI AGNES NASANIA WILAYANI IRAMBA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumatatu Juni 1, 2026 ameshiriki ibada ya mazishi ya Diwani wa Kata ya Shelui,...

Read More
31
May

DKT. MWIGULU AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA ITIGI KUKAMILIKA KWA BARABARA YA MKIWA–MAKONGOLOSI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewahakikishia wananchi wa Halmashauri ya Itigi mkoani Singida kuwa Serikali itaendelea kutoa kipaumbele katika utekelezaji...

Read More
31
May

VIDEO HIGHLIGHT MANYONI-SINGIDA

[video width="1024" height="576" mp4="https://www.mwigulunchemba.com/wp-content/uploads/2026/05/VID-20260531-WA0001.mp4"][/video] Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Mei 30, 2026 amefanya ziara Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida ambapo;...

Read More
30
May

DKT. MWIGULU AAGIZA WALIOIBA MILIONI 500 MANYONI KUKAMATWA

 Aagiza watumishi waliohusika na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 500 Manyoni wakamatwe na fedha zirudishwe_ Akemea rushwa, wizi wa...

Read More
30
May

WAZIRI MKUU APONGEZA KILIMO CHA KOROSHO MANYONI, AHIMIZA UONGEZAJI THAMANI WA MAZAO KUPITIA VIWANDA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kukuza uchumi wa viwanda na kuongeza thamani...

Read More
30
May

WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA MAJI WA BILIONI 28 MANYONI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Jumamosi, Mei 30, 2026) akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Singida amekagua maendeleo ya...

Read More