SERIKALI HAITOZI KODI WANAOBEBA MIZIGO BINAFSI KATI YA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR
Serikali imesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) haitozi kodi kwa wasafiri kati ya Zanzibar na Tanzania bara wanaobeba vitu...
Read MoreDKT. NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw....
Read MoreDKT. NCHEMBA AKUTANA NA UJUMBE WA LAAC KUTOKA BUNGE LA ZAMBIA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana nakuzungumza na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za...
Read MoreSERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD
Serikali imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba, mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shilingi milioni kumi na...
Read MoreTANGA UWASA YAORODHESHWA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM (DSE)
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amezielekeza Taasisi za Serikali kutumia utaratibu wa Ugharamiaji wa Miradi ya...
Read MoreDKT. NCHEMBA: WADAU WAWEKEZE KWENYE SEKTA ZA UZALISHAJI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa rai kwa wadau wa maendeleo nchini likiwemo Shirika la Maendeleo...
Read MoreDKT. NCHEMBA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI BENKI YA MAENDELEO TIB
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya...
Read MoreMHE. DKT. NCHEMBA AWATULIZA WAFANYABIASHARA NCHINI-SERIKALI INAFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA KIKODI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewahakikishia wafanyabiashara nchini kuwa Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na...
Read MoreMALIPO YA WATOA HUDUMA HUZINGATIA MIKATABA YA ZABUNI
Serikali imesema kuwa ulipaji wa madai yanayotokana na kupokelewa kwa bidhaa au huduma huzingatia masharti ya mikataba ya zabuni au...
Read MoreSERIKALI YAUNDA KAMATI YA UCHAMBUZI VIWANGO VYA PENSHENI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA...
Read More









