



Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu walipokutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakielekea Dodoma, leo tarehe 30 Aprili, 2026.