25
Apr

DKT NCHEMBA AHIMIZA NCHI ZA AFRIKA KUVUTIA UWEKEZAJI WA NDANI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amezishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara...

Read More
25
Apr

DKT NCHEMBA NA WAZIRI WA FEDHA WA RWANDA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Rwanda, Mhe. Yusuf Murangwa, Nje...

Read More
25
Apr

DKT NCHEMBA NA WAZIRI WA FEDHA WA ZAMBIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Zambia, Mhe. Situmbeko Musokotwane, kabla...

Read More
25
Apr

DKT NCHEMBA NA WAZIRI WA FEDHA WA AFRIKA KUSINI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini, Mhe. Enoch Godongwana,...

Read More
24
Apr

WAZIRI WA FEDHA DKT. MWIGULU NCHEMBA AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA MASUALA YA UTAWALA NA UENDESHAJI WA BENKI KUU YA DUNIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Masuala ya Utawala na...

Read More
23
Apr

MHE. DKT. NCHEMBA ATETA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA AfG1-IMF

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amesema kuwa Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko ya sera za nje...

Read More
21
Apr

DKT. NCHEMBA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MIKUTANO YA KIPUPWE YA IMF NA BENKI YA DUNIA, JIJINI WASHINGTON

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewasili Washington D.C nchini Marekani, ambako anaongoza ujumbe wa Tanzania katika...

Read More
21
Apr

IMF YAKUNWA NA UTEKELEZAJI MIPANGO YA TANZANIA YA KUKUZA UCHUMI NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya...

Read More
21
Apr

DKT. NCHEMBA ATETA NA MWAKILISHI MKAZI (UN WOMEN)

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la...

Read More
16
Apr

FEDHA ZISIZOTUMIKA HADI MWISHO WA MWAKA KURUDI MFUKO MKUU WA SERIKALI

Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia...

Read More