DKT. NCHEMBA: ELIMU YA BIASHARA INA MCHANGO MKUBWA KIUCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya kuanzishwa kwa Chuo cha Biashara...
Read MoreSERIKALI YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IMF
Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), na kuhakikisha Fedha zote za maendeleo zinazotolewa na...
Read MoreDKT NCHEMBA ATETA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Shirika...
Read MoreTANZANIA NA JAPAN ZASAINI MKATABA KUENDELEZA KILIMO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Japan zimetia Saini Hati za Mkataba wa Yen za Japan...
Read MoreDKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa Tanzania ina thamini mchango mkubwa wa Taifa la Marekani...
Read MoreDKT. NCHEMBA ATETA NA BALOZI WA KOREA KUSINI NCHINI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa dola za Marekani bilioni 2.5 zilizoahidiwa kutolewa na Jamhuri...
Read MoreDKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA JAPAN NCHINO
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia...
Read MoreDKT. NCHEMBA AFUNGUA MAFUNZO YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKASLI (PAC)
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu...
Read MoreDKT NCHEMBA AIPONGEZA TRA KUIMARISHA MAPATO
Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuongeza makusanyo ya kodi...
Read MoreMHE. DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KAMATI YA BARABARA YA MKOA WA ARUSHA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameshiriki mkutano wa Kamati ya Barabara ya Mkoa wa Arusha...
Read More









