DONDOO ZA ALIYOYAZUNGUMZA

▪️Kila mtumishi wa umma ajikite katika kutatua changamoto za watanzania

▪️Kila mtanzania anaowajibu wa kuipenda Tanzania, tusiyumbishwe na watu wasiotutakia mema, Tanzania ni ya Watanzania tuijenge na tuilinde nchi yetu.

▪️Akitokea mtu anakwambia uharibu mali ya umma, huyo anania ya kuihujumu Tanzania, wakatalieni. Wao, watoto zao na ndugu zao hawaishi hapa Tanzania ila wanafanyia biashara maisha ya Watanzania.

▪️Rais Dkt. Samia alishatoa msamaha kwa vijana walioshiriki kwenye tukio lile bila kutambua wanachofanya, hatutarajii watarudia.

▪️Tanzania ni mwalimu wa masuala ya amani na usuluhisi.

▪️Tusiruhusu uhalifu utawale kwenye nchi yetu, tupo kwenye vita ya kiuchumi, wanamezea mate rasilimali zetu, Tanzania tumegundua madini adhimu na tutakuwa nchi 1 Afrika na ya 9 duniani kuwa na madini haya.

Share Story

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *