_Dkt. Mwigulu ni mzalendo, mara zote aliifikiria Tanzania_- Aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Nathan Belete.
📍Dar es Salaam-Tanzania
——————————
Amesema hayo wakati wa hafla ya kuagwa iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.