f6b9ce4c-623f-44c0-b29e-40cfa5baef2f

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda amani, usalama wa wananchi na rasilimali za Taifa na haitamvumilia mtu yeyote atakayejihusisha na vitendo vinavyohatarisha usalama wa nchi.

Ametoa kauli hiyo leo (Jumamosi, Juni 27, 2026) alipowasalimia wananchi wa Wilaya ya Ikungi, mkoani Singida, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani humo.

Share Story

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *