IMF YAKUNWA NA UTEKELEZAJI MIPANGO YA TANZANIA YA KUKUZA UCHUMI NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya...
Read MoreDKT. NCHEMBA ATETA NA MWAKILISHI MKAZI (UN WOMEN)
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la...
Read MoreFEDHA ZISIZOTUMIKA HADI MWISHO WA MWAKA KURUDI MFUKO MKUU WA SERIKALI
Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia...
Read MoreDKT. NCHEMBA: HAKUNA SEKTA ITAKAYOKOSA FEDHA KUTOKANA NA MABALILIKO YA SERA
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakutakuwa na sekta itakayokosa fedha kwa sababu ya mabadiliko ya sera ya baadhi ya mataifa zinazolenga...
Read MoreWAZIRI MKUU AFUNGUA KIKAO KAZI CHA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameshiriki hafla ya Ufunguzi wa Kikao cha ngazi ya Juu cha...
Read MorePOLAND YAONESHA NIA KUSHIRIKI UJENZI WA SGR
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa...
Read MoreMIUNDOMBINU YA RELI KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amesema kuwa Serikali inaweka nguvu katika masuala ya ujenzi wa miundombinu...
Read MoreDKT. NCHEMBA: TANZANIA NA POLAND KUIMARISHA ZAIDI UHUSIANO WA KIUCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje...
Read MoreDKT. NCHEMBA: SERIKALI NA OECD YA UFARANSA KUSHIRIKIANA KUBORESHA SERA ZA KODI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ushirikiano...
Read MoreUFARANSA YAKARIBISHWA KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGENEZA DAWA MUHIMU NCHINI TANZANIA
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa wito kwa wawekezaji kutoka Ufaransa kuwekeza nchini Tanzania katika Sekta...
Read More









