NORWAY IMEONESHA NIA YA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA
Norway imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania katika kukijengea uwezo Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ili...
Read MoreMIKOPO YA KAUSHA DAMU INAYOSUMBUA WANANCHI NA KUKIUKA SHERIA IMEFUTIWA LESENI
“Alipoingia Dkt. Samia alielekeza kuondoa usumbufu huu ambao Wananchi wanaupata na akamuelekeza Gavana wa Benki kuu na Idara inayosimamia Microfinance...
Read MoreTUNZENI KUMBUKUMBU NA NYARAKA MUHIMU KWAJILI YA FIDIA
Serikali imewataka wananchi kutunza kumbukumbu na nyaraka muhimu za rejea ili kuondoa usumbufu na kurahisisha zoezi la ulipaji fidia hususan...
Read MoreTUMIENI TAASISI RASMI ZA FEDHA KUFANYA MIAMALA YA KIBIASHARA
Serikali imewataka Wananchi na wafanyabiashara katika mipaka ya Tanzania na nchi jirani kutumia taasisi rasmi za fedha zikiwemo benki za...
Read MoreDKT NCHEMBA MADENI YA MAKANDARASI NA WAZABUNI YAMELIPWA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameliambia Bunge, Mjini Dodoma kuwa katika kipindi cha Mwaka wa...
Read MoreSERIKALI YAWALIPA WAZABUNI TRIL 2.1 KWA MWAKA 2016 HADI 2023
Na. Khadija Ibrahim, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameliambia Bunge, Mjini Dodoma kuwa...
Read MoreTANZANIA YAPOKEA MSAADA WA Sh. TRIL 1.4 KUTOKA GLOBAL FUND
Tanzania na Global Fund zimesaini Mikataba minne ya misaada yenye thamani ya dola za Marekani milioni 606.9 (sawa na zaidi...
Read MoreVODACOM YAIPONGEZA SERIKALI KUONDOA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU KWANI IMEKUZA BIASHARA
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ameahidi kuwa Serikali itaendelea kuboresha sera za...
Read MoreDKT MWIGULU AISHAURI ANGLO GOLD ASHANTI KUIUZIA BOT DHAHABU
WAZIRI wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameushauri uongozi wa Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Anglo Gold...
Read MoreDKT NCHEMBA AZINDUA TAASISI YA USULUHISHI WA MALALAMIKO YA KIKODI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) ameiagiza Ofisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za kodi...
Read More









