03
Jun

VIDEO: DKT NCHEMBA MGENI RASMI USHETU UTIAJI SAINI MRADI WA MAJI WA BILIONI 44

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwatubia wananchi wa jimbo la ushetu, Mkoani Shinyanga. Katika Hafla ya...

Read More
03
Jun

MRADI WA MAJI YA ZIWA VICTORIA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuongeza Bajeti ya Wizara ya Maji ili...

Read More
01
Jun

MATAJIRI WALIPE KODI MASKINI WAPATE HUDUMA

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) amesema hawezi kuvumilia kuona maskini wanaendelea kutozwa kodi kwenye biashara ndogondogo...

Read More
01
Jun

DKT NCHEMBA AZINDUA MFUMO WA KIELETRONIKI WA FORODHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaongoza Mawaziri wa Nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...

Read More
31
May

DKT NCHEMBA AZINDUA MFUMO WA KIELETRONIKI WA FORODHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaongoza Mawaziri wa Nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...

Read More
31
May

DKT. NCHEMBA AKIONGOZA KIKAO CHA UJUMBE WA TANZANIA-EAC

Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameongoza Kikao cha Ujumbe wa Tanzania, Makao Makuu ya...

Read More
31
May

DKT. NCHEMBA AKIWASILI MAKAO MAKUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI, ARUSHA

Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewasili Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini...

Read More
30
May

WIZARA YA MAJI YAIPA TANO WIZARA YA FEDHA

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) ameteta na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), kuhusu...

Read More
30
May

TAZAMA FILAMU ELIMU YA FEDHA KWA UMMA.

FILAMU HII IMEBEBA MAUDHUI KUHUSU; 1. MATUMIZI YA FEDHA BINAFSI 2. MIKOPO (VICOBA VISIVYO RASMI) 3. UMUHIMU WA BAJETI 4....

Read More
28
May

DKT. NCHEMBA AIOMBA INDONESIA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUBORESHA MIFUMO YA KODI

WAZIRI wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameiomba Indonesia kushirikiana na Tanzania kuboresha mifumo ya kodi ili kuboresha ukusanyaji...

Read More