WAZIRI MKUU AONGOZA MKUTANO KAZI WA MAWAZIRI.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12,...
Read MoreWAZIRI MKUU ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA KKKT (DMP) USHARIKA WA AZANIA FRONT
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, tarehe 11 Januari 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
Read MoreDKT. MWIGULU ANAZUNGUMZA NA MACHINGA, MADEREVA PIKIPIKI NA BAJAJI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo 08 Januari 2026, anazungumza na Wamachinga pamoja na madereva wa pikipiki na bajaji za...
Read MoreDKT. MWIGULU AFUNGUA SKULI YA CHUKWANI, ZANZIBAR
Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu._ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli...
Read MoreDKT. MWIGULU AKUTANA NA MAWAZIRI WA MAJI NA FEDHA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Januari 03, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Waziri wa Fedha,...
Read MoreWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (kulia kwake) na Waziri wa Fedha, Balozi, Khamis...
Read MoreDKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda lililopo Mkoani...
Read MoreDKT. MWIGULU AZUNGUMZA NA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MVUA KILOSA.
Autaja mradi wa ujenzi wa mabwawa ya kuhifadhi maji ya Mvua eneo la Kidete._ Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo...
Read MoreDKT. MWIGULU AKAGUA ATHARI ZA MVUA, KIDETE
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amekagua hali ya athari iliyosababishwa na mvua katika eneo la kidete,...
Read MoreWAZIRI MKUU AELEKEA MOROGORO KWA ZIARA YA KIKAZI.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 ameelekea Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ambapo atakagua maendeleo ya...
Read More








