26
Jan

DKT. MWIGULU AELEKEA MOROGORO KUFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA TAKUKURU.

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisafiri kwa Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kutoka Dar es Salaam kuelekea...

Read More
24
Jan

MZEE EDWIN MTEI AAGWA ARUSHA, SERIKALI KUENZI MCHANGO WAKE KITAIFA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada...

Read More
24
Jan

DKT. MWIGULU ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA MZEE EDWIN MTEI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akitia saini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania...

Read More
24
Jan

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MAZISHI YA MZEE EDWIN MTEI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 24, 2026, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ambapo...

Read More
24
Jan

MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali...

Read More
23
Jan

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA KUSUKUMA NA KUHIFADHI MAJI MWANZA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Kusukuma na Kuhifadhi Maji...

Read More
23
Jan

WATENDAJI KITUO CHA UOKOZI MWANZA WATAKIWA KUTOA HUDUMA ZA DHARURA KWA SAA 24

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa maagizo kwa watendaji wa Kituo cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda – Mwanza,...

Read More
23
Jan

WAZIRI MKUU AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Waziri...

Read More
22
Jan

TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU.

Asisitiza Taasisi za Serikali zinapaswa kufahamu kwamba makao makuu ya nchi ni Dodoma_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa...

Read More
22
Jan

WAZIRI MKUU AONGOZA MKUTANO KAZI WA MAWAZIRI, MANAIBU MAWAZIRI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika leo Januari...

Read More