DKT.NCHEMBA AKUTANA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE DODOMA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Frederick Sumaye, walipokutana katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Bungeni...
Read MoreDKT. MWIGULU ASALIMIANA NA RAIS WA SINGAPORE
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, Ikulu ya Magogoni, Jijini Dar...
Read MoreRUKWA WASHANGAZWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA WAZIRI MKUU DKT.MWIGULU
611b3b92-ae67-4cbe-9c1a-1438fe81afa4 Sumbawanga - RUKWA Wananchi na Wafanyabiashara wa Soko la Mandela Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa wamepongeza hatua ya haraka ya...
Read MoreDKT.MWIGULU -MSITANGULIZE FEDHA MBELE BALI MJALI UTU,HASA KWA WENYE ULEMAVU
da709151-4856-4981-9bd2-a855dba08fa1 Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba amewaagiza watumishi mbalimbali Nchini wakiwemo waganga wakuu wa Hospitali zote Kuhakikisha kwamba wanathamini utu wa...
Read MoreWAZIRI MKUU: TANZANIA IKO SALAMA DHIDI YA EBOLA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaendelea kuwa salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku Serikali ikiendelea kuimarisha mifumo...
Read MoreWAZIRI MKUU AFANIKISHA MARIDHIANO YA MGOGORO WA MIAKA 14 KATI YA MARTHA HILONGA NA KANISA KATOLIKI ARUSHA
Utaratibu wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa njia ya mazungumzo na maridhiano...
Read MoreDKT. MWIGULU ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA DIWANI AGNES NASANIA WILAYANI IRAMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumatatu Juni 1, 2026 ameshiriki ibada ya mazishi ya Diwani wa Kata ya Shelui,...
Read MoreDKT. MWIGULU AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA ITIGI KUKAMILIKA KWA BARABARA YA MKIWA–MAKONGOLOSI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewahakikishia wananchi wa Halmashauri ya Itigi mkoani Singida kuwa Serikali itaendelea kutoa kipaumbele katika utekelezaji...
Read MoreVIDEO HIGHLIGHT MANYONI-SINGIDA
[video width="1024" height="576" mp4="https://www.mwigulunchemba.com/wp-content/uploads/2026/05/VID-20260531-WA0001.mp4"][/video] Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Mei 30, 2026 amefanya ziara Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida ambapo;...
Read More







