MSIPORE ARDHI ZA WANANCHI KWA KIGEZO CHA UWEKEZAJI-DKT. MWIGULU.
Asema msimamo wa Rais Dkt. Samia ni maendeleo na uwekezaji_ WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali wasipore...
Read MoreDKT. MWIGULU AIPA WIZARA YA MAJI WIKI MBILI.
Ni kwa ajili ya kukamilisha Mchakato wa kumpata mkandarasi mradi wa maji kutoka ziwa Chala._ _Aitaka Wizara ya Fedha kufatuta...
Read MoreDKT SAMIA NI RAIS WA MATOKEO”. ASEMA WAZIRI MKUU
Akagua ujenzi wa Chuo cha VETA Same_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni...
Read MoreDKT. MWIGULU AMEZINDUA SHULE YA AMALI MAJULAI-MLALO
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 17, 2026 amekagua na kuzindua shule mpya ya sekondari ya amali ya Majulai...
Read MoreWAZIRI MKUU: MAWAZIRI WATABAKI TANGA NIKIONDOKA
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewaagiza baadhi ya mawaziri alioambatana nao wabakie mkoani Tanga ili kufuatilia masuala yaliyoibuliwa na wananchi...
Read MoreDKT. MWIGULU AHANI MSIBA WA IDRISSA ZUBEIR.*
Pia awasilisha Salamu za Pole za Rais Dkt. Samia kwa waliofariki kwenye Machimbo, Korogwe._ Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amehani...
Read MoreDKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA WILAYA YA KILINDI.
Ataka uchunguzi wa matumizi ya fedha na ununuzi wa vifaa hospitalini hapo. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 14,...
Read MoreDKT. MWIGULU ATAKA USHIRIKIANO WA KIKANDA KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI
Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika_ _▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya...
Read MoreDKT. MWIGULU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA OCEAN ROAD
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 12, 2026 amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia...
Read MoreDKT. MWIGULU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MKUTANO WA 43 WA AUDA-NEPAD
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na...
Read More








