Waziri wa Fedha, Mhe Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ashiriki kikao cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais wa Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (European Investment Bank) Bw. Thomas Östros, Ikulu Ndogo Tunguu, Zanzibar.
