23
Apr

WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO

_Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko_ WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali za...

Read More
22
Apr

TASNIA YA MAZAO YA BUSTANI NI SEKTA YA KIMKAKATI-DKT. MWIGULU

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa tasnia ya mazao ya bustani siyo tu sehemu ya sekta ya kilimo, bali...

Read More
22
Apr

WAZIRI MKUU ATIMIZA AHADI YA KUMPATIA KITIMWENDO HELENA JOSEPH

  Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Aprili 20, 2026) amemkabidhi kitimwendo Helena Joseph Mwandu (mwenye mahitaji maalum), Ofisini kwa Waziri...

Read More
22
Apr

WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA WATENDAJI SERIKALINI

Awataka wahakikishe miradi inasimamiwa na kuleta tija iliyokusudiwa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watendaji wa Serikali wanajukumu la kuhakikisha...

Read More
22
Apr

WAZIRI MKUU APONGEZA MCHANGO WA WANAWAKE UKUAJI WA UCHUMI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza wanawake nchini kutokana na mchango mkubwa wanaoutoa katika kukuza uchumi uchumi wao binafsi na...

Read More
06
Apr

WAZIRI MKUU AKAGUA MADHARA YA MOTO SOKO LA SIMU 2000, AAGIZA HATUA ZA HARAKA KUREJESHA BIASHARA

_Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi_ _Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza...

Read More
06
Apr

WAZIRI MKUU ASHIRIKI TAMASHA LA MTOKO WA PASAKA, ASISITIZA AMANI

_Atoa pole kwa wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) waliopata ajali ya moto_ Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo...

Read More
01
Apr

SH. TRILIONI 1.77 ZAHITAJIKA KUKIDHI MIUNDOMBINU YA ELIMU MWAKA 2028

JUMLA ya sh. trilioni 1.77 zinahitajika kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, maabara, ajira mpya za walimu, ruzuku ya mitihani,...

Read More
01
Apr

UTEKELEZAJI WA DIRA 2050 UANZE – DKT. MWIGULU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuanza utekelezaji wa Dira 2050 kupitia Mpango na Bajeti iliyoandaliwa na kuendelea kuishirikisha sekta...

Read More
31
Mar

MHESHIMIWA LUKUVI ATAKUMBUKWA KWA MENGI -WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu)...

Read More