24
Nov

DKT. MWIGULU AKAGUA MIUNDOMBINU NA MALI ZILIZOHARIBIWA NA VURUGU ZA OKTOBA 29, 2025

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 24, 2025 amekagua miundombinu ya usafiri wa mwendo kasi pamoja na mali nyingine...

Read More
24
Nov

DONDOO YA YALIYOJIRI WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA WA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, ULIOFANYIKA KATIKA UWANJA WA BOMBADIA, SINGIDA

▪️Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anawasalimia Wana Singida na anawapongeza kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa. ▪️Mradi wa SGR...

Read More
24
Nov

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na...

Read More
20
Nov

DKT. MWIGULU AKUTANA NA KATIBU MKUU WA TEC

Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la...

Read More
19
Nov

WAZIRI MKUU AZUNGUMZA NA MAWAZIRI, NAIBU MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri...

Read More
19
Nov

MHE. DKT MWIGULU AKUTANA NA MAWAZIRI OFISINI KWAKE

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo , Profesa Paramagamba  Kabudi pamoja na Waziri wa...

Read More
17
Nov

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini...

Read More
16
Nov

RAIS DKT. SAMIA: WATANZANIA TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA LIDUMU KATIKA AMANI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani,...

Read More
15
Nov

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MKOA WA DODOMA

▪️Atoa maagizo kwa Wizara ya Afya, MSD na hospitali zote nchini. ▪️Ataka wajawazito wasisubirishwe mapokezi wanapofika hospitali ▪️Wagojwa waipongeza Srtikali...

Read More
15
Nov

RAIS SAMIA AMWAPISHA RASMI DKT NCHEMBA KUWA WAZIRI MKUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa...

Read More