13
Nov

MHE. DKT MWIGULU APOKELEWA OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye makazi ya Waziri Mkuu...

Read More
23
Aug

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amehudhuria hafla ya uwekeaji jiwe la Msingi la ujenzi wa Reli ya...

Read More
01
Aug

UTANI WA JADI SIMBA NA YANGA WAPAMBA UZINDUZI WA HARAMBEE UJENZI KKKT DODOMA

Utani wa jadi wa Klabu za Yanga na Simba umepamba uzinduzi wa Harambee ya Ujenzi wa Jengo la Ofisi Kuu...

Read More
01
Aug

RAIS SAMIA AHIMIZA AMANI NA UTULIVU NCHINI: ACHANGIA KANISA MILIONI 50

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa madhehebu ya dini nchini kuendelea...

Read More
01
Aug

MAWAZIRI WA FEDHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA ARUSHA KUJADILI KODI NA USHURU

Baraza la Kisekta la Mawaziri Wanaosimamia Masuala ya Fedha na Uchumi (SCFEA) wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubaliana kuandaa...

Read More
01
Aug

DKT. NCHEMBA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI WA EAC

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu, ameongoza Ujumbe wa Tanzania katika kikao cha mashauriano ya ndani kuelekea...

Read More
23
Jul

MWENGE WA UHURU WALETA NEEMA SINGIDA, DKT. MWIGULU NCHEMBA ATOA WITO WA UMOJA NA KUIUNGA MKONO SERIKALI

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndg. Ismail Ally Ussi, amempongeza Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo...

Read More
18
Jul

DKT. NCHEMBA AMEFANYA MAZUNGUMZO NA UJUMBE WA KAMPUNI YA MINARA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Kampuni ya Minara Tanzania, ulioongozwa...

Read More
14
Jul

DKT NCHEMBA ASHIRIKI MECHI YA HISANI KURUDISHA KWA JAMII.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameshiriki mechi ya hisani ya kurudisha kwa jamii iliyoandaliwa na...

Read More
10
Jul

DKT. NCHEMBA AIPONGEZA TRA KWA UFANISI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa kuna ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi mara tu baada...

Read More