DKT. MWIGULU ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA KATAVI
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba...
Read MoreDKT. MWIGULU AWASILI MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili...
Read MoreKILA MKUU WA MKOA ATATOA TAARIFA KUHUSU UKUZAJI BIASHARA – WAZIRI MKUU
Asema waandae mapendekezo kuhusu utitiri wa taasisi za udhibiti na kodi_ _Ataka yawasilishwe kwa Waziri wa Fedha, yaingizwe katika Muswada...
Read MoreWAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya...
Read MoreWAZIRI MKUU AKAGUA BANDARI YA KASANGA MKOANI RUKWA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo...
Read MoreDKT. MWIGULU: WANAFUNZI WATAKAOFAULU VIZURI KUSOMESHWA NJE YA NCHI KUPITIA SAMIA SCHOLARSHIP
Awafikishia wanafunzi salamu za Rais Dkt. Samia; asema Serikali inaendelea kuwekeza katika elimu_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi...
Read MoreDKT. MWIGULU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA FEDHA ZA MIRADI RUKWA
_Akemea ucheleweshaji wa miradi, asema fedha za maendeleo si siri_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na...
Read MoreATAKAYEBAINIKA KUUZA PEMBEJEO FEKI KUFILISIWA-DKT. MWIGULU
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulima kwa kuwauzia...
Read MoreWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA SOKO LA KISASA LA MAZAO KANONDO-RUKWA.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 8, 2026 ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Soko la Kisasa la...
Read MoreWAZIRI MKUU AKAGUA UKARABATI WA UWANJA WA NDEGE WA SUMBAWANGA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa...
Read More








