17
Jul

WAZIRI MKUU AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Julai 17, 2026 amekagua na kupokea taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya...

Read More
17
Jul

DKT. MWIGULU AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Julai 17, 2026 amefanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Uganda Marco Elisha...

Read More
04
Jul

WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU WANANCHI KUTOZWA FEDHA ZA MAFUTA KWENYE AMBULANCE

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amepiga marufuku tabia ya kuwatoza wagonjwa fedha za mafuta wanapohitaji kusafirishwa kwa magari ya wagonjwa...

Read More
04
Jul

WAZIRI MKUU AZINDUA SHULE YA MSINGI KASOMA, AIPONGEZA MUSOMA VIJIJINI KWA USIMAMIZI WA MIRADI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameizindua Shule ya Msingi Kasoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara na kuipongeza...

Read More
03
Jul

WAZIRI MKUU: SERIKALI KULINDA NA KUENDELEZA URITHI WA BABA WA TAIFA, BUTIAMA

aee9c64f-468e-4849-8925-c2b07af80747Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda na kuendeleza urithi wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage...

Read More
03
Jul

WAZIRI MKUU: SERIKALI KULINDA NA KUENDELEZA URITHI WA BABA WA TAIFA, BUTIAMA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda na kuendeleza urithi wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage...

Read More
02
Jul

WAZIRI MKUU: WAKANDARASI WAREJEE SITE

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea...

Read More
02
Jul

MAMENEJA WA RUWASA, TANROADS MARA WAONJA ‘JOTO YA JIWE’ KWA WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewabana Mameneja wa RUWASA na TANROADS mkoani Mara kwa kuwahoji maswali huku akiwaonya wasizoee matatizo...

Read More
02
Jul

WAZIRI MKUU AKAGUA DARAJA LA MTO NYATHOROGO LINALOUNGANISHA WILAYA ZA RORYA NA TARIME

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua Daraja la Mto Nyathorogo lililopo katika Kijiji cha Nyathorogo, Kata ya Nyathorogo, wilayani Rorya,...

Read More
01
Jul

WAZIRI MKUU: HALMASHAURI KUTENGA ASILIMIA TANO YA MAPATO YA NDANI KUJENGA MIUNDOMBINU YA BIASHARA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeelekeza halmashauri zote nchini kutenga asilimia tano ya mapato yao ya ndani kwa...

Read More